.
28th August, 2018
Shirikisho la soka nchini FKF limesema kwamba litachukua hatua dhidi ya mashabiki waliofanya uhalifu ugani Moi Sports Center Kasarani iwapo wasimamizi wa ligi kuu ya taifa hawatachukua hatua mapema. Mashabiki waling'oa na kuharibu viti ugani kasarani baada ya gor mahia kupata ushindi wa mabao 2?0 dhidi ya afc leopards katika mechi ya ligi kuu ya taifa iliyochezwa siku ya jumapili. Ni matokeo ambayo yalihakikisha kwamba wamehifadhi taji la ligi kuu nchini.