.
28th August, 2018
Kenya imejiondoa kuandaa mashindano ya kina dada ya ubingwa wa afrika baada ya kukosa kufikia viwango vya shirikisho la soka barani afrika. Kwa kile ambacho CAF wanadai ni ukosefu wa viwanja vya kutosha vinavyofikia viwango vya kuandaa michuano ya kimataifa. Wakati uohuo kenya pia imejiondoa kutoka uenyeji wa mashindano ya CECAFA yaliyokuwa yaandaliwe mwezi desemba baada kukosa fedha za kutosha kuaanda mashindano hayo.