×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Martha Karua: Ipo haja ya kubuni sheria za kudhibiti kampeni nchini

28th August, 2018

Kiongozi wa NARC Kenya Martha Karua amesema ipo haja ya kubuni sheria za kudhibiti kampeni nchini. Karua ameikosoa bunge kwa kutotekeleza mswada uliopitishwa wa kudhibiti ufadhili wa fedha za kampeni. Kinara huyo wa chama cha narc kenya ameonya iwapo mswada huo hautatiliwa maanani basi kampeni zitakuwa ni za wale wenye fedha tu. . Karua amesema ni sharti sheria ya kuchunguza matumizi na mbinu za kupokea fedha za kampeni itiliwe mkazo, kwani ufisadi na wizi wa fedha za umma hutekelezwa zaidi wakati wa kampeni. Aliyasema haya kwenye kongamano la centre for multi?party for democracy hapa jijini Nairobi. 

.
RELATED VIDEOS