×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

MATUKIO YA KATIBA: Kazi ya viongozi wa wengi na wachache Bungeni

27th August, 2018

Huku taifa likiadhimisha miaka minane tangu kuzinduliwa kwa katiba, mwaka wa 2010, sasa minong'ono imeibuka kutoka bungeni ambako yadaiwa huenda bunge la senet linajivunia madaraka bandia.  Licha ya kuwa na afisi za kiongozi wa walio wengi na walio wachache, afisi hizo hazitambuliwi kwenye katiba. Ukweli wa mambo ni kwamba kifungu cha 108 cha katiba kinatambua afisi za kiongozi wa wengi na walio wachache katika bunge la taifa pekee. Je, wanaoshikilia afisi kwenye seneti  hadi sasa wanayo madaraka bandia? Mwandishi wetu wa masuala ya siasa duncan khaemba amelizamia swala hili na anatupa taarifa hiyo kwenye awamu ya kwanza la makala maalum, state of the constitution.

.
RELATED VIDEOS