×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hassan Joho ameushinikiza wito wa ukaguzi wa hali ya kimaisha

27th August, 2018

Matamshi ya Gavana Ali Joho yamekashifiwa vikali na baadhi ya viongozi wa eneo la bonde la ufa, wakidai joho hafai kuzungumza kama msemaji wa bonde la ufa na badala yake anafaa kushughulikia maendeleo ya eneo la pwani. Wakiongozwa na mbunge wa kapseret oscar sudi kwenye kikao na wanahabari mjini eldoret,viongozi hao wamedai tume ya maadili na kupambana na ufisadi eacc inatumiwa na wanasiasa fulani katika kuwahujumu wapinzani wao kwa lengo la kuyumbisha ndoto zao za kuwania uongozi mwaka wa 2022.

.
RELATED VIDEOS