×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Joho awataka wakenya kushirikiana na serikali kwa maswala ya ardhi

26th August, 2018

Gavana wa kaunti ya mombasa Hasan Joho, amewataka wakenya na viongozi kwa ujumla kushirikiana na serikali za kaunti ya ile ya kitaifakuhakikisha kwamba ardhi ya umma ambayo ilinyakuliwa miaka ya nyuma, imarejeshwa kwa serikali. Joho amesema kwamba serikali wakenya na viongozi wanafaa kuchukua hatua ya kuhakikisha kwamba wanalinda ardhi ya umma kwa manufaa ya vizazi vijavyo. Alikuwa akizungumza katika eneo la samburu. 

 

 

.
RELATED VIDEOS