×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shirikisho la riadha lakashifu wanariadha wanaotumia dawa za kusisimua misuli

22nd August, 2018

Shirikisho la riadha nchini limekashifu wanariadha ambao wanazidi kutumia dawa za kusisimua misuli huku wakisema kuwa kamati maalum itaundwa kupiga jeki vita dhidi ya utumizi huo.

 Rais wa shirikisho hilo Jackson Tuwei amesema kuwa shirikisho la riadha halitasitisha vita hivyo, huku akigusia tu kwa umbali kuwa ni kero iwapo fedha ziltumika vibaya katika maandaliza ya ubingwa wa wanariadha wasiozidi miaka kumi na nane.

.
RELATED VIDEOS