Sakata Ya Sukari ingali yatokota
20th August, 2018
Mvutano unatokota katika bunge la taifa kufuatia
kuwasilishwa kwa hoja kwa Spika Justin Muturi kufufua
mjadala wa sakata ya sukari baada ya ripoti hiyo kufutiliwa
mbali kwenye kikao kilichoweka uadilifu wa bunge la taifa
kwenye mizani. Anavyorifu mwanahabari Geff Kirui, baadhi ya
wabunge wanapendekeza mswada huo urejeshwe bungeni