×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hali Tete Kampala: Jeshi limelazimika kuingilia kati kuwatuliza waandamanaji nchi Uganda

20th August, 2018

 Tuvuke kwa majirani Uganda ambapo vurugu zimeripotiwa 
katikamji mkuu wa Kampala hivi leo baada ya jeshi pamoja na 
polisi kufyatua risasi za moto pamoja na mabomu ya kutoa 
machozi kuwatawanya wafuasi wa mbunge wa upinzani 
Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu Bobi Wine. Wafuasi 
hao wamezua vurugu na kufunga baraba katika mji wa 
kampala kulalamikia hatua ya serikali kuendelea kumzuilia 
bobi wine ambaye amefunguliwa mashtaka ya uhaini
.
RELATED VIDEOS