×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vurumai Mazishini: Kisa chatokea Trans Nzoia,Polisi wawajeruhi waombolezaji

20th August, 2018

 Watu wanne wakiwemo mwakilishi wadi wa Kapomboi Kaunti 
Trans Nzoia Benard Wanjala na Walinzi Wawili wa wabunge 
wa Tongaren na Likuyani wamejeruhiwa vibaya kwa risasi 
baada ya vurugu kuzuka kwenye matanga ya aliyekuwa 
dereva wa mbunge wa Lukuyani Enoch Kibunguchy aliyeuawa 
kwa kupigwa risasi juma moja lililopita.
 
Akikashifu kitendo hicho kilichotokea baada ya mmoja wa mawaziri 
wa kaunti ya Kakamega kuwasili mahali hapo, Seneta wa 
Bungoma Moses Wetangula amemtaka kamishna wa polisi na 
kiongozi wa mashtaka ya umma kuagiza uchunguzi ufanywe 
na kumshtaki afisa huyo wa polisi ambaye alifyatua risasi 
kiholela kwenye umati. Mazishi hayo yalikuwa 
yamehudhuriwa na viongozi wa FORD Kenya kutoka eneo la 
Magharibi. Majeruhi walipelekwa kwenye hospitali ya binafsi 
ya kiminini cottage na hospitali ya mt. Elgon mjini Kitale
 
.
RELATED VIDEOS