.
19th August, 2018
Kundi moja la vijana wanaoishi mitaani katika mtaa wa Kayole limeanzisha mchakato wa kuyaaga maisha ya kuranda randa mitaani kwa kujihusisha na kilimo cha kupanda mboga na biashara.
Kwingineko mwanamake mmoja anazuliwa na polisi baada ya zaidi ya watoto thelathini waliokuwa wakiishi katika kituo cha kuwalea watoto mtaani Kayole kutoweka