.
18th August, 2018
Charles Kamuren wa chama cha Jubilee aliibuka mshindi katika uchaguzi mdogo uliofanyika katika eneo bunge la Baringo kusini.
Msimamizi wa IEBC Paul Koness alitangaza mapema hii leo kwamba Kamuren ndiye mbunge mteule baada ya kujizolea kura 12,277. Mpinzani wake wa karibu Cynthia Kipchilat alipata kura 8,968.