×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Balala aonya waekezaji dhidi ya kunyakua ardhi ya ufuoni

18th August, 2018

Waziri wa utalii Najib Balala amewaonya waekezaji dhidi ya kunyakua au kujenga kwenye ardi ya ufuoni.

Balala amesema kuwa majumba yaliomo ufuoni yatabomolewa kama inavyofanyika hapa jijini Nairobi.

Alisema haya wakati akizindua rasmi mradi wa kuulinda ufuo eneo la mto sabaki hadi mnara wa Vasco Da Gama. 

Balala aliandamana na gavana wa Kilifi Amazon Kingi

.
RELATED VIDEOS