.
16th August, 2018
Naibu wa Rais William Ruto alwaongoza viongozi kutoka janibu mbali mbali za za humu nchini katika mazishi ya aliyekuwa bingwa wa mbio za mita mia nne za kuruka virunzi mwaka wa 2015 Nicholas Bett.
Mazishi ilifanywa eleo la Simat Kaunti ya Uasin Gishu.
Sifa kedekede kwa mwendazake, majonzi na siamsi ilitawala mazishi yake marehemu.