.
15th August, 2018
Magavana Amason Kingi wa Kilifi na mwenzake Ali Hassan Joho wa Mombasa wamekutana na wawakilishi wadi kutoka Pwani na kuamua kwa kauli moja kuzika tofauti zao ili kuhakikisha kuwa mpwani amenufaika na raslimali zilizoko. Je mikutano ya hivi karibuni huenda inalenga kubuniwa kwa chama cha wapwani Mombasa.