.
15th August, 2018
Susan Wangari ambaye ni mkewe gavana wa kaunti ya Kiambu Ferdinand Waititu ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi elfu themanini pesa taslimu. Hii ni baada ya kutiwa mbaroni akiwa pamoja na washukiwa wengine kumi na watatu kwa madai ya kuendeleza ujenzi katikati ya jiji pasi na idhini kutoka kwa kaunti ya jiji la Nairobi. Sycilia wakesho na taarifa hiyo ambayo imeibua hisia baada ya gavana Mike Sonko kuweka wazi mawasiliano kati yake na gavana Waititu aliyekuwa akisihi kuachiliwa kwa mkewe.