.
14th August, 2018
Mwanaume mwenye umri wa miaka thelethini na miwili anauguza majereha mabaya katika hospitali ya Eldama Ravine kaunti ya Nakuru. Inadaiwa kwamba Stanley Cheruiyot alijeruhiwa na polisi waliokua wakishika doria huko Eldama Ravine akielekea nyumbani kwake.