.
12th August, 2018
Kasumba kwamba mtu yeyote aliye na mahitaji maalum au anayeishi na ulemavu wa aina yoyote ile anahitaji usaidizi ikiwa imekita mizizi katika jamii, mwanadada mmoja mwenye umri wa miaka thelathini ameamua kamwe kutojihurumia ila kuwa kielelezo katika jamii kwamba ulemavu haimanishi kutojiweza.