Msichana mwenye umri wa miaka kumi anusurika ndoa ya mapema
11th August, 2018
Msichana mmoja wa umri wa miaka kumi amenusurika jaribio la ukeketaji na ndoa ya mapema eneo la suguta, kaunti ya Samburu. Na sasa kamishna wa kaunti hiyo john korir anawasaka wamoran na wazee husika baada yao kutoweka.