×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamaa mmoja ambaye imekuwa na tabia ya kula mayai na maganda yake

9th August, 2018

Wataalamu wamegundua kuwa maganda ya mayai yana viwango vikubwa vya virutubisho na madini aina ya kalshiamu. Wataalamu hao wanapendekeza kuwa watu wakome kutupa maganda ya mayai na badala yake kuyala ili kuongeza nguvu mwili. Je unaweza kufanya hivyo? Jamaa mmoja ambaye imekuwa na tabia  ya kula mayai na maganda yake.

.
RELATED VIDEOS