.
8th August, 2018
Kinara wa ODM, Raila Odinga, ameitetea hatua ya chama hicho kumkabidhi Ochilo Ayacko tiketi ya moja kwa moja ya kuwania usenta kwenye uchaguzi mdogo unaotarajiwa hivi karibuni.
Akizungumza katika makao makuu ya chama hicho baada ya kukutana na waliokuwa wawaniaji wengine kwenye tiketi ya ODM, Raila alifafanua kwamba hatua ya kumteua Ochilo ayacko kuwa mgombeaji wa useneta ilitokana na matokeo ya utafiti wa kura za maoni