Marafiki na manusura wa mkasa wa shambulizi la bomu Agosti nane wamekongamana
7th August, 2018
Jamaa, marafiki na manusura wa mkasa wa shambulizi la bomu Agosti nane wamekongamana kwenye kumbukumbu ya miaka 20 baada ya tukio hilo. Jamii ya kidiplomasia pamoja na waliohusika kwa ukombozi pia walifika eneo hilo jijini Nairobi.