×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanafunzi 10 wafariki katika ajali ya barabara Mwingi

5th August, 2018

Hali ya majonzi imetanda katika eneo la mwingi baada ya vifo vya watoto kumi ambao ni wanafunzi wa shule ya msingi ya St. Gabriel's mjini mwingi katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo wakati basi la shule walimokuwa wakisafiria wanafunzi hao kugongana ana kwa ana na lori kwenye barabara ya Mwingi kuelekea Garissa.

 

.
RELATED VIDEOS