4th August, 2018
Tarehe 7 Agosti mwaka wa 1998 itasalia kuwa siku ya huzuni kuu nchini kenya. Shambulizi la kigaidi kwenye ubalozi wa marekani lilitikisa taifa na kusababisha vifo vya ya zaidi ya watu 200. Risala za rambirambi zilipoisha, huenda wengi walisahau tukio hilo. Lakini kwa Stella na Douglas,tukio hilo limesalia nao kila uchao