1st August, 2018
Gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko amewasimamisha kazi waziri wa afya wa kaunti ya Nairobi hitam Majevda na mkurugenzi wa afya Thomas Ogaro. Gavana Sonko amewapa maafisa hao wakuu siku 14 kuelezea ni kwa nini baadhi ya hospitali za kaunti hazina vifaa vya kutoksha na madawa, licha ya kutumiwa kwa mamilioni ya gedha kununua.