30th July, 2018
Shughuli za kuanza kuchimba gesi ya kutumika kwa umeme zimeanza katika eneo la pate kaunti ya lamu . Wakazi wa Kisiwa hicho cha pate wanayo matumaini kwamba uchimbaji huo utawasaidia kuimarisha uchumi wao hasa baada ya eneo hilo kubaki nyuma kimaendeleo.