.
29th July, 2018
Hospital ya MP Shah jijini Nairobi imezinduzua upasuaji wa kudhibiti uzito wa kupita kiasi kwa kupunguza ukubwa wa tumbo. Upasuaji huo utasaidia pakubwa katika upunguzaji wa uzani miongoni wa watu wenye uzani mkubwa na hivyo basi kuthibiti magonjwa yatokanayo ya mitindo na hali ya kuishi