.
28th July, 2018
Gavana wa Nairobi Mike Sonko ameongoza shughuli ya ubomozi wa ukuta katika mtaa wa South C hapa jijini nairobi.Ubomozi huo unafwatia kauli yake hapo jana kuwa majengo aina hiyo yalioko kwenye ardhi ya umma, yatabomole wakupisha miradi ya umma mkiwemo upanuzi wa barabara. Idadi kuu ya majengo au kuta sehemu hizo, amedai ilinyakuliwa na vigogo waliokua serikalini