.
25th July, 2018
Shirika la Amnesty linaitaka serikali kuwafidia waliopoteza makao yao kwenye ubomozi wa Kibera. Serikali imekuwa ikiendeleza ubomozi wa majumba yalioko kwenye barabara Kibera kwa siku mbili sasa. Zaidi ya watu elfu thelathini wameathirika na kubaki bila makao.