×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakazi wa Kibera wasema serikali imewashtua katika ubomozi

23rd July, 2018

Wakazi wa mtaa wa Kibera hapa jijini Nairobi, wameelezea kutoridhika kwao kwa namna serikali ilipowashtua na ubomoaji wa makao yao kwa ajili ya ujenzi wa barabara. Ingawa wamekariri kwamba hawapingi mradi huo, wamedai kuhadaiwa na serikali.

.
RELATED VIDEOS