22nd July, 2018
Shughuli ya kuwafurusha watu kutoka msitu wa Mau utaendelea. Serikali imesisitiza kuwa pingamizi kutoka baadhi ya wanasiasa ni kelele za chura. Katibu Mkuu wa Jubilee Raphael Tuju akisema idara ya nidhamu chamani itatathmini matamshi ya kiongozi wa waliowengi bunge la seneti Kipchumba Murkomen ambako itaamua iwapo atachukuliwa hatua kwa kutoa mtimazo kinzani na ya wakuu serikalini ya kuwatoa watu ndani ya Mau.