.
22nd July, 2018
Je huenda naibu rais William Ruto akajikuta pabaya kuhusiana na ziara zake za mara kwa mara pamoja na uzinduzi wa miradi mipya ya maendeleo licha ya agizo la rais kusitisha uzinduzi wa miradi mipya kabla ya kukamilisha ya awali? Akihutubia waumini huko Kilifi Ruto amesema kuwa atazidi kuzuru eneo hilo bila ruhusa ya yeyote na vilevile kuapa kuendelea kuzindua miradi mbali mbali ya maendeleo