Moi Girls Marsabit yateketea huku idadi ya shule ambazo zimeteketea nchini zikiongezeka
14th July, 2018
Shule ya Moi Girls kaunti ya Marsabit na ile ya upili ya mokowe kaunti ya Lamu zimejiunga kwenye orodha ya shule zilizoteketea mwaka huu. Haya yakitokea wakati ambapo idadi ya shule zilizoathirika ikielekea 40 mwaka huu pekee