.
14th July, 2018
Wanakijiji wa Musukini eneo la Mwingi wameamka na mshangao wa kuupata mwili wa mwanamume mwenye umri wa makamo akiwa ameuwawa karibu na soko la Musukuni. Wakati uo huo, familia moja eneo la Mwingi inasaka haki kwa msichana wao anayedaiwa kubakwa na kutungwa mimba na kasisi mmoja eneo hilo