×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kidero amulikwa upya kuhusiana na kampuni ya sukari ya Mumias

12th July, 2018

Viongozi kutoka eneo la magharibi ya Kenya sasa wanamtaka kiongozi wa mashitaka ya umma  na mkurugenzi wa idara ya upelelezi kumkamata na kuanzisha mashtaka dhidi ya aliyekuwa Gavana wa Nairobi Evans Kidero kwa kile wanachodai alifuja mabilioni ya fedha katika kampuni ya sukari ya Mumias. Kulingana na viongozi hao, Kidero aliangusha kampuni ya Mumias Sugar na kuwaacha wakulima wa miwa wakiwa maskini alipokuwa mkurugenzi mkuu katika kampuni hiyo.  

.
RELATED VIDEOS