.
7th July, 2018
Darius msagha aliipa timu ya bandari fc ushindi baada ya kusawazisha bao la pekee la mechi dhidi ya kakamega homeboyz katika mchuano wa ligi kuu nchini, uliochezwa uwanjani mbaraki. Ushindi huu umeiweka bandari katika nafasi ya tatu kwenye jedwali huku ikiwa na alama thelathini na tano, ikiwa ni ushindi wa kwanza wa mkufunzi bernard mwalala. Kwenye mechi zengine zilizochezwa leo, nicholas kipkurui aliipa zoo kericho ushindi wa bao moja kwa nunge dhidi ya chemelil sugar