.
7th July, 2018
Biwi la simanzi lilitanda kijijini tsanga stini eneo la kaloleni baada ya mwili wa marehemu katana kazungu mwenye umri wa miaka kumi na saba aliyeuwawa na maafisa wa usalama majuma mawili yaliyopita kuwasili kutoka chumba cha maiti siku moja kabla ya mazishi