Mzozo katika chama cha Maendeleo ya Wanawake baada ya pesa kufichwa kwa akaunti ya siri
1st July, 2018
Maafisa wa upelelezi wanachunguza tuhuma ambayo huenda serikali ya kenya ikajikuta katika sakata nyingine inayohusiana na mzozo wa ndani kwa ndani katika chama cha Maendeleo ya Wanawake