.
28th June, 2018
Awamu ya kumi na moja ya tamasha za kitamuduni za eneo la MarsaBit na ziwa turkana zilianza leo katika mji wa Loiyangalani, kaunti ya Marsabit. Wageni kutoka humu nchini na pia nchi za nje wakikongamana kufurahia mila na tamaduni za makabila kumi na tano yanyojumuisha watu katika kaunti ya marsabit.