×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mradi wa kuwapa wasichana wa Samburu elimu wazinduliwa

28th June, 2018

Wasichana millioni kumi na tano katika  kanda ya Afrika Mashariki wana kiu ya kupata elimu. Nchini kenya  wizara ya elimu kwa ushirikiano na serikali ya uingereza sasa zimeahidi kushirikiana na shule zilizo maeneo kame na wafugaji wa kuhamahama  kama njia moja ya kuafikia miaka kumi na miwili ya masomo ya mtoto wa kike, mradi uliozinduliwa mwaka huu kwenye kongamanao la mataifa ya jumuiya ya madola

.
RELATED VIDEOS