.
28th June, 2018
Wasichana millioni kumi na tano katika kanda ya Afrika Mashariki wana kiu ya kupata elimu. Nchini kenya wizara ya elimu kwa ushirikiano na serikali ya uingereza sasa zimeahidi kushirikiana na shule zilizo maeneo kame na wafugaji wa kuhamahama kama njia moja ya kuafikia miaka kumi na miwili ya masomo ya mtoto wa kike, mradi uliozinduliwa mwaka huu kwenye kongamanao la mataifa ya jumuiya ya madola