×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanawake wa KANU waunga mkono juhudi za rais katika vita dhidi ya ufisadi

28th June, 2018

Kongamano la taifa la wanawake wa chama cha KANU, limeunga mkono juhudi zinazoendeshwa dhidi ya ufisadi na kukariri haja ya viongozi wote kumwunga mkono rais Uhuru Kenyatta katika harakati hizo. wakiongozwa na mwenyekiti wa taifa wa kina mama chamani humo, Elizabeth Kimkung’, viongozi hao wa kike aidha waliwakashifu wale wanoendesha siasa za 2022 na badala yake kuwataka wazingatie utendakazi kazi badala ya siasa.

.
RELATED VIDEOS