.
27th June, 2018
Mbunge wa Tiaty William Kamket amewataka viongozi walio wengi bungeni aden duale na kiongozi wa walio wengi kwenye seneti Kipchumba Murkomen kujiuzulu iwapo hawapendelei utaratibu wa kutathmini mienendo na mali ya viongozi kama njia mojawapo wa kukabiliana na ufisadi nchini. Akizungumza katika eneo la chemolingot kaunti ya Baringo Kamket alisisitiza kuwa kanu ipo tayari kushirikiana na rais uhuru kenyatta kufanishikisha malengo yake hadi mwaka wa 2022.