27th June, 2018
Tukio la kuwashangaza wanakijiji wa kijiji cha Namisi kaunti ya Busia wamegutushwa na tukio la kaburi la bwana mmoja askofu huko kuporomoka baada ya siku tatu tangu kuzikwa kwake. Familia ya mzee huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka tisini inasema hilo lilitendeka sababu maagizo ya kuzikwa kwake hayakufuatwa. hata hivyo baadhi ya watu wanahusisha tukio hilo na ujenzi mbaya wa kaburi hilo na kuchangia kuwa rahisi kuporomoka.