23rd June, 2018
Wajane nchini sasa wana sababu ya kutabasamu baada ya Wizara ya Elimu kwa ushirikiano na Wizara ya Masuala ya Jinsia kutangaza kwamba wajane wataanza kupewa fursa ya kupokea mafunzo ya bure kwenye vyuo vya ufundi pasi na kutozwa ada yoyote