.
21st June, 2018
Shirikisho la la wafanyikazi nchini Kenya hii leo limezindua awamu ya pili ya tuzo za kampuni bora zaidi kwa wafanyikazo. Hafla hiyo inalenga kuwatia moyo wafanyikazi na inatarajiwa kufanyika katika muda wa miezi miwili ijayo . Akizungumza wakati wa uzinduzi huo afisaa mkuu mtendaji wa wa shirika la The Standard Group Orlando Lyomu amewahimiza waajiri kuhakikisha kuwepo kwa mzingira bora ya kufanya kazi .