.
21st June, 2018
Walimu wakuu wameachwa katika njia panda kuhusu azimio la kuhamishwa kutoka shule moja hadi nyingine. Msimamo wa muungano wa KNUT unatofautiana na mapendekezo ya walimu wakuu ambao wameonekana kulegeza kamba katika kongamano la 43 linaloendelea huko mombasa.