Makabiliano kati ya polisi na vijana Kibra, vibanda vilivyoko kando ya reli vikibomolewa
21st June, 2018
Baadhi ya wakazi wa eneo la area 42 katika kitongoji cha Kibera huenda wakajipata kwenye usiku wa baridi leo baada ya vikosi vya polisi na wabomozi kuwatimua kutoka kwa makazi yao kandokando mwa njia ya treni mtaani humo