Shirika la huduma ya misitu yatangaza mpango ya kufurisha zaidi ya mia mbili kutoka msitu wa Maasai
17th June, 2018
Shirika la Huduma ya Misitu KFS imetangaza mipango ya kufurusha familia takriban mia mbili zinazoishi katika msitu wa Maasai Mau mojawapo wa misitu ya mau kufuatia uharibifu mkuu wa msitu huo