×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hali mbovu ya maafisa wa gereza Kakamega wanaoishi nyumba za matope | #BudgetKE2018

14th June, 2018

Licha ya bajeti ya mwaka huu kuwasilishwa bungeni wengi wamekuwa wakifuatilia moja ya ajenda nne za serikali ya rais Uhuru Kenyatta ambayo ni makaazi. Mojawapo ikiwa ujenzi wa makaazi ya bei nafuu kupambana na ukosefu wa nyumba za kutosha. Katika kaunti ya Kakamega maafisa wa kulinda magereza bado wanaishi katika nyumba za matope.

 

 

.
RELATED VIDEOS