×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jamaa auawa na raia Kisumu kwa madai alimuua msichana

14th June, 2018

Raia waliojawa na hasira wamemvamia na kumpiga hadi kufa mwanamme mmoja mwenye umri wa makamo katika eneo la Car Wash mjini kisumu  kwa madai kuwa alihusika katika kifo cha msichana mmoja ndani ya nyumba yake. Inadaiwa mshukiwa huyo alikuwa akijaribu kutoroka baada ya kumuua msichana huyo na kupakia mwili wake ndani ya begi. 

.
RELATED VIDEOS